Wanaharakati wa haki za binadamu pamoja na mawakili wamemkemea vikali mkuu wa jeshi la polisi wa Uganda Jenerali Kale Kayihura kwa kile ambacho wamekitaja kukaidi agizo la kisheria kufika mahakamani// China imeitaja Kenya kuwa kiungo muhimu cha uwekezaji katika Bara la Afrika.