Nairobi: Mkutano kuhusu vita dhidi ya ugaidi/ Wabunge wa Kenya wavutana na tume ya kusawazisha mishahara na marupurupu, SRC, juu ya nyongeza ya marupurupu yao/ Sheria mpya yenye adhabu kali dhidi ya vitendo vya ujangili na biashara haramu ya nyara za taifa inatarajiwa kuimarisha usalama wa wanyamaporini Uganda/ Kombe la mataifa barani Afrika huko Misri limeingia hatua ya robo fainali > Mahojiano