Serikali ya Uingereza yatumbukia katika mgogoro baada ya mawaziri kujiuzulu kutokana na mchakato wa Brexit // Rais Trump wa Marekani amemteua mhafidhina Brent Kavanaugh kuwa jaji wa Mahakama ya Juu // Na Kansela Merkel wa Ujerumani amesisitiza kuhusu umuhimu wa kuheshimu sheria za kimataifa za biashara