Baraza la kijeshi linalotawala nchini Sudan limelishutumu vuguvugu linaloongoza maandamano nchini humo kwa kuendeleza machafuko// Waziri wa Mambo ya Nchi za Kigeni wa Ujerumani Heiko Maas yuko nchini Iran katika ziara inayolenga kuuokoa mkataba wa nyuklia ambao ulifikiwa mwaka wa 2015// Tanzania- Chama cha ACT-Wazalendo kimefanya maboresho kwenye safu yake ya uongozi.