Trump kuamua kuhusu hatua ya kijeshi Syria/ Trump akasirishwa na FBI kuzipekua ofisi za Cohen/ Aliyekuwa mkuu wa majeshi nchini Sudan Kusini ameanzisha chama chake kitakachopambana na rais Salva Kirr/ Mkuu wa Shirika la UNHCR ameitaka serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuhakikisha mazingira bora na ya usalama kwa ajili ya kuwezesha kurejea kwa wakimbizi wake walioko nchini Rwanda