Ripoti za kufichuliwa na mtandao wa Wikileaks mbinu za udukuzi za shirika la ujasusi la Marekani CIA zinatoa sura ya kitisho cha jinsi watu wanavyoweza kupelelezwa kwa wingi// Mwaka mmoja tangu kufungwa kwa njia ya Balkan, wahamiaji wengi wanaendelea kukwama au wamepotelea nchini Ugiriki na wengine wanazidi kusongamana nchini Serbia.