Athari za kiuchumi zinazosababishwa na vita nchini Syria huenda zikashuhudiwa kwa vizazi vijavyo kwa sababu ya idadi kubwa ya watoto wanaokosa elimu/ Libya bado inakabiliwa na hali ya wasiwasi, ikiwa ni miaka mitano tangu mapinduzi yaliyomuondoa madarakani kiongozi wa zamani, hayati Muammar Gaddafi/ Maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Utalii yameingia siku ya pili Leo/ Africa yasonga mbele