Serikali ya Uganda imepinga maamuzi ya mahakama ya haki ya kimataifa ICJ kwamba iifidie Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kiasi cha dola milioni mia tatu ishirini na tano+++Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa atoa hotuba yake kwa wananchi wa taifa hilo lililo kusini mwa jangwa la Sahara+++Serikali ya Tanzania leo imeyafungulia magazeti manne yaliyokuwa yamefutiwa leseni zake hapo nyuma.