Ushindi wa rais mpya wa Congo, Felix Tshisekedi umepokelewa kwa shangwe na maelfu ya wafuasi wake mjini Kinshasa ambao wamemiminika kwenye makao makuu ya chama cha UDPS// Hali ya taharuki imetanda katika eneo la Likia, Njoro, kufuatia wizi wa mifugo uliopelekea mauaji ya mtu mmoja