1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.01.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S10 Januari 2018

UN yalaani ukandamizaji dhidi ya waandamanaji Kongo/ Rais Moon Jae In wa Korea Kusini yuko tayari kukutana na Kim Jong-Un/ Tanzania: Wakimbizi zaidi ya 80 wanashikiriwa na jeshii la Polisi mkoani Kigoma kufuatia kuibuka kwa vurugu katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu/ Ujerumani: Wakosoaji wameilaumu serikali ya Ujerumani kwa undumilakuwili linapokuja suala la kuwatumikisha watoto kama askari

https://p.dw.com/p/2qcPd