Uturuki yazionya Iran na Urusi/ Macron amehimiza mshikamano miongoni mwa nchi za Umoja wa Ulaya mbele ya China ambayo nguvu zake za kiuchumi zinazidi kuimarika/ Tunesia: Hali ya taharuki imeendelea kuugubika mji mkuu Tunis/ Vyama viwili vikuu vinavyounga mkono azma ya jimbo la Catalonia kujitenga kutoka Uhispania vimekubaliana kumuunga mkono Puigdemont kuwa mgombea na nafasi ya raia wa jimbo hilo