Tanzania: Maadhimisho ya miaka 58 ya uhuru wa Tanganyika/ SIPRI: Mauzo ya silaha yameongezeka duniani/ Marais wa Urusi na Ukraine kukutana Paris/Von der Leyen, ameanza shughuli zake kwa kufanya ziara yake rasmi ya kwanza nje ya Ulaya kwa kuutembelea Umoja wa Afrika/ Wafuasi wa chama cha Social Democrat-SPD wamejitokeza na msimamo wa aina mpya baada ya mkutano wao mkuu uliomalizika jana