Tanzania: Mwanasiasa wa chama cha CHADEMA Godbless Lema anazuiwa nchini Kenya baada ya kuvuka mpaka yeye na familia yake kukimbia kile kilichotajwa kuwa wasiwasi wa unyanyasaji baada ya uchaguzi mkuu/ Biden azidi kupongezwa/ Je, Biden anaweza kurudisha ushirikiano wa kimataifa na uongozi?/ Umoja wa Mataifa una matumaini na mazungumzo ya Libya/ Ethiopia yafanya mashambulizi ya angani Tigray