1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.10.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S9 Oktoba 2018

Mkasa wa mwandishi habari Jamal Khashoggi/ Syria: Makundi ya jihadi na waasi wanaoungwa mkono na Uturuki wameondoa silaha nyingi nzito kutoka maeneo yanayozunguka ngome kuu ya mwisho ya makundi ya upinzani nchini humo ya Idlib/ Tanzania: Prof. Lipumba amesema chama chake cha CUF kinahujumiwa na chama tawala CCM na maofisa wa serikali ili kipoteze uungwaji mkono kwenye ngome zake

https://p.dw.com/p/36FOz