1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.10.2018 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S9 Oktoba 2018

Leo Uganda inaadhimisha miaka 56 ya uhuru/ Vijana wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania CHADEMA wameshiriki mkutano mkuu wa chama kinachoongozwa na Kansela Merkel cha CDU cha hapa Ujerumani> Mahojiano/ Ujerumani: Kumeandaliwa mkusanyiko wa kuunda kule kinachoitwa 'Kundi la Wayahudi nadini ya chama cha AFD'/ Mauaji ya vikongwe katika mkoa wa shinyanga nchini Tanzania

https://p.dw.com/p/36CfE