1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.09.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S9 Septemba 2021

Rais Uhuru Kenyatta ametangaza kuwa ukame unaoyakumba maeneo kadhaa ya nchi ya Kenya kuwa janga la Taifa+++ECOWAS yaisimamisha Guinea baada ya jeshi kutwaa mamlaka+++Ujerumani kufungua tena ubalozi wake nchini Libya baada ya kuondoka mwaka 2014 kutokana na kushamiri kwa mizozo+++Marekani yahofia Al-Qaeda kuibuka tena nchini Afghanistan.

https://p.dw.com/p/4076c