Marekani imeuzungumzia uchaguzi mkuu wa Tanzania/ Mvutano wa kisiasa unazidi kuwa mkubwa nchini Kenya/ Maelfu ya waomba hifadhi katika kisiwa cha Lesbos cha nchini Ugiriki wamekimbia kunusuru maisha yao kufuatia moto mkubwa kuwaka kwenye kambi kubwa kabisa ya wahamiaji ya Moria/ Tikhanovskaya: Lukashenko sio rais halali machoni mwa wabelarus/ Chanjo ya COVID-19 majaribio yasitishwa