Shirika la biashara duniani WTO linatafuta kiongozi mpya// Sekta kadhaa nchini Kenya zimeathirika kutokana na Janga la virusi vya Corona// Watoto nchini Yemen wanakabiliwa na hali mbaya ya utapiamlo kufuatia vita vya takriban miaka sita// Umoja wa Mataifa umesema uingiliaji wa kigeni katika mzozo wa Libya umefika katika kiwango kisicho cha kawaida.