Museveni ateua wanawake zaidi katika Baraza lake la Mawaziri/ Utekaji nyara watoto watumika kama mbinu ya vita Msumbiji/ Maelfu walikimbia eneo la kaskazini mwa Burkina Faso/ Mvutano kati ya waislamu na serikali Burundi waongezeka/ Israel yauwa wanajeshi, wanamgambo 11 wa Syria