Rais wa Burundi Pierre Nkrunziza amefariki dunia/ Uganda: Rais Museveni amekiri kwamba anakabiliwa na changamoto nyingi katika kukabiliana na ufisadi katika utawala wake/ Kenya: Bunge la kaunti ya Kirinyaga limepitisha hoja ya kumuondoa mamlakani gavana wa kaunti hiyo, Anne Waiguru/ Ripoti: Ubaguzi wa rangi waongeza Ujerumani 2019