1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.06.2017 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S9 Juni 2017

UK-Matokeo ya uchaguzi mkuu ulioitishwa mapema na waziri Mkuu Theresa May wakati taifa hilo likijiandaa kufanya mazungumzo ya miaka miwili ya kujiondoa Umoja wa Ulaya// Qatar inajikuta imetengwa chini ya shutuma za kuunga mkono ugaidi lakini mzozo huu wa kidiplomasia hasa unahusu mapambano ya kuwania madaraka ya vijana wa kifalme huko Ghuba ya uarabu wakisaidiwa na Rais Donald Trump wa Marekani.

https://p.dw.com/p/2eNFm