Uasi wa kigaidi nchini Msumbiji ulianza tangu mwaka 2017 na tangu hapo watu wengi wamekufa na wengine kuyakimbia makazi// Wakuu wa SADC walaani uasi nchini Msumbiji// Ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) nchini Tanzania imezua gumzo kubwa// Merkel, Putin wahimiza kutulizwa mivutano mashariki Ukraine.