Mwanamfalme Philip afariki na miaka 99// Tanzania- Viongozi wa kisiasa pamoja na baadhi ya watendaji wa serikali wanaanza kuonesha kigeugeu katika kauli na misimamo yao kwa mengi yaliyosemwa na kutendwa kwenye utawala uliopita// Vikosi vya usalama nchini Chad vimewashambulia kikatili waandamanaji na wanasiasa wa upinzani// Ujerumani kuweka sheria ya kitaifa kudhibiti COVID-19.