Jumuiya ya kimataifa yalaani shambulizi la silaha za sumu liliotokea Syria mwishoni mwa wiki // Chama cha Waziri Mkuu wa Hungary Viktor Orban kimepata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa bunge // Na Polisi imewakamata watu sita, wanaotuhumiwa kupanga "uhalifu" kwenye mbio za Berlin Half Marathon