1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.04.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S9 Aprili 2018

Ujerumani na Uingereza zimelilaani vikali shambulizi la gesi la sumu nchini Syria/ Tanzania: Askofu mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship amesema kuwa haogopi kuhojiwa juu ya uraia wake/ Mwenyekiti wa tume huru ya mipaka na uchaguzi nchini Kenya IEBC amemsimisha kwa muda wa miezi mitatu mkurugenzi wa tume hiyo

https://p.dw.com/p/2vjzQ