Rais wa Marekani Donald Trump amekubali kufanya mkutano wa kwanza wa kihistoria na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un katika hatua ya kushangaza ya mzozo mkali wa nyuklia kati ya Marekani na Korea Kaskazini// Rais Uhuru Kenyatta wa Kenyatta na Kiongozi mkuu wa upinzani Raila Odinga wamefanya mazungumzo katika afisi ya rais jijini Nairobi mchana huu.