Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli leo amekutana na waziri mkuu mstaafu wa Tanzania Edward Lowassa// Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hii leo linakutana kujadili hali kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo// Rais Xi Jinping wa China na kiongozi mwenzake wa Ufaransa Emmanuel Macron wasaini makubaliano ya kibiashara.