Olaf Scholz aidhinishwa kuwa Kansela wa Ujerumani/ Saudi Arabia yadai aliyekamatwa na Ufaransa hahusiki na mauaji ya Khashoggi/ Kenya: Watu 3 akiwemo mshambuliaji wa kujitoa muhanga wameuawa kwenye tukio la mripuko, Kisumu/ Museveni atetea operesheni ya majeshi yake DRC/ Rais wa Zanzibar alifungua kongamano kubwa la wawekezaji