Kuahirishwa kwa muda wa mwisho wa kuundwa kwa serikali ya mpito Sudan Kusini kwa muda wa siku mia moja kumepokelewa kwa maoni mbalimbali na wadadisi wa masuala ya kisiasa//Vikosi vya usalama nchini Iraq vimewapiga risasi na kuwauwa waandamanaji wasiopungua sita mjini Baghdad