1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.07.2015 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S8 Julai 2015

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Bunge jipya la Burundi litakalo kuwa na wabunge 121, viti 77 vitakaliwa na wabunge kutoka chama tawala Burundi cha CNDD-FDD// Waziri Mkuu wa Ugiriki, Alexis Tsipras amesema taifa lake limejifunga kutekeleza mageuzi ya kiuchumi// Je kikao cha kamati ya Maadili ambacho kitakuwa chini ya mwenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete kimeanza?

https://p.dw.com/p/1Fv0h