Burundi imeadhimisha mwaka mmoja tangu kufariki rais wa zamani, Pierre Nkurunziza/ Mahojiano kuhusu hatua ya rais wa Tanzania kukutana na wanawake akiwa mjini Dodoma/ Rwanda imeanza majaribio ya kutumia mbwa wa kunusa ili kugundua watu wenye maambukizi ya Covid-19/ Bunge la Israel kuipigia kura serikali mpya/ Janga la virusi vya corona linaendelea kuuandama ulimwengu