Watu karibu elfu sita waliokimbia makaazi yao wanakabiliwa na hali mbaya ya kibinaadamu huko Ituri kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo/ Tanzania: Wananchi wamemtaka Rais kuunda utaratibu maalum wa kuwasikiliza watu walioofanyiwa vitendo vinavyokiuka haki za binadamu ikiwemo kuteswa na baadhi ya maafisa wanaoteuliwa na rais/ Michuano ya Euro 2020 inaanza Juni 11: Kundi A