Majaji kwenye mahakama ya kimataifa ya mjini the Hague leo wanatarajiwa kutoa uamuzi juu ya rufani iliyowasilishwa na aliekuwa makamu wa rais wa Jamhuri ya Kidemkrasia ya Kongo Jean-Pierre Bemba// Waalimu katika shule za msingi za umma nchini Kenya wamebuni njia mbalimbali za kutumia mifumo ya kidigitali kutoa mafunzo kwa wanafunzi.