1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.03.2017 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S8 Machi 2017

Dunia ingekua mahala pazuri pa wanawake kuishi iwapo wangepata kazi nzuri zaidi// Sudan Kusini-Jenerali wa jeshi la Sudan aliyejienguwa mwezi uliopita, sasa anasema ameunda kundi jipya la waasi kuipinga serikali// Mzozo juu ya jaribio la Poland kutaka kumuweka mgombea mwengine kuchukuwa nafasi ya Rais wa Umoja wa Ulaya Donald Tusk linatishia kuutia kiwingu mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya.

https://p.dw.com/p/2YoEk