Rais Mwinyi atimiza siku 100 za mwanzo mamlakani/ Viongozi wa upinzani nchini Somalia wametangaza kuwa hawamtambui tena Rais Mohamed Abdullahi Mohamed/ Kenya: Kuondolewa kwa zaidi ya wakaazi 3,000 katika kijiji cha Kibos kilichopo Kisumu/ Congo yasajili kisa kipya cha Ebola mkoa Kivu ya Kaskazini/ Afrika Kusini yasitisha kuanza utoaji chanjo ya AstraZeneca