1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.02.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S8 Februari 2017

Wabunge na maseneta wa Somalia leo wanamchagua rais wa nchi hiyo, huku ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa// Mkutano wa kiuchumi kati ya Ujerumani na nchi za Afrika Mashariki unaanza leo mjini Nairobi// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amezuru Poland kwa mara ya kwanza tangu serikali ya mrengo mkali wa kulia ilipoingia madarakani mwaka 2015.

https://p.dw.com/p/2XA0j