Uvamizi wa bunge la Marekani uliofanywa na wafuasi wa Rais Donald Trump umeharibu sifa ya nchi hiyo kama kiongozi wa demokrasia duniani// Viongozi wawili wa kidini nchini Uganda, wa Kikatoliki na mwenzake wa kiothodoksi walianzisha maombi maalum ya amani wakati wa uchaguzi// Zanzibar- Baadhi ya watu wenye ulemavu wameshirikishwa katika mafunzo jumuishi ya utetezi wa haki zao.