Oman inayo mahusiano mazuri na Iran na pia Marekani, hali ambayo imeiweka katika nafasi ya kuwa mpatanishi baina ya nchi hizo mahasimu> Mahojiano/ Guterres ameonya kwamba mivutano ya siasa za kimataifa inazidi kuongezeka kasi. Amezitaka nchi husika kujizuia kuendeleza mapigano/ Lamu: Hali ya wasiwasi ingali imetanda katika eneo la Manda kufuatia mashambulio yaliyofanywa na kundi la Al-Shaabab