UN: Kikao kuhusu Congo chaahirishwa huku kura zikiendelea kuhesabiwa / Waasi wa Uganda ADF wamewauwa watu 11 katika mji mdogo wa Mazizi kaskazini mwa mji wa Beni/ Trump aishusha hadhi ya kidiplomasia ya Umoja wa Ulaya/ Kim awasili China kwa mazungumzo na Xi Jinping/ Hatua za Kinga dhidi ya Udukuzi Magazetini