Kama ulivyokwisa sikia katika taarifa yetu ya habari vituo vya kupigia kura vimefunguliwa nchini Marekani, katika uchaguzi wa katikati ya muhula ambao utaamua chama kitakacholidhibiti bunge la nchi hiyo// Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametoa wito hii leo wa kuwepo "jeshi la kweli la Ulaya" kulihami bara la Ulaya dhidi ya Urusi na pia dhidi ya Marekani.