WHO yaidhinisha chanjo ya kwanza dhidi ya Malaria+++Human Rights Watch imesema wasichana wanaofukuzwa shule kwa kupata ujauzito Tanzania wanakosa haki yao ya kupata elimu+++Nchini jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, jeshi limewakamata watu 30 raia wa Burundi waliojaribu kuvuka bonde la mto Ruzizi kuelekea nyanda za wilaya ya Uvira+++Mlinzi wa miaka 100 wa enzi ya Manazi kushitakiwa kwa mauaji.