Guinea imeshuhudia mapinduzi mengine ya kijeshi. Mkuu wa kikosi maalumu cha Jeshi ameaminika kuwa na uhusiano wa karibu na Ufaransa/ Mamlaka nchini Sudan ilinasa masanduku 72 ya silaha zilizowasili nchini humo kutoka Ethiopia kupitia usafiri wa ndege/ Merkel na sera ya kigeni ya Ujerumani/ Mamia ya wafanyakazi wa Kiafrika katika ardhi ya Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE wamewekwa kizuizini