1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.09.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S7 Septemba 2017

Mwanasiasa mkosoaji mkubwa wa serikali na Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA nchini Tanzania ambaye ni Rais wa chama cha wanasheria Tanganyika Tundu Lisu amefyatuliwa risasi na watu wasiojulikana hii leo // Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema Uturuki inabaki kuwa mshirika muhimu wa Umoja wa Ulaya.

https://p.dw.com/p/2jXa2