Rais Pierre Nkurunziza amesema hatogombea tena urais baada ya muhula wake kumalizika 2020// Imam wa kishia nchini Irak Moqtada al-Sadr amewataka wafuasi wake wawe watulivu baada ya watu18 kuuwawa kwenye mlipuko katika ngome yake kuu huko mjini Baghdad// Kampuni kubwa la Ujerumani linalotengeneza madawa na kemikali la Bayer na kampuni ya Marekani ya Monsanto zimeungana.