1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.06.2016 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Juni 2016

Uturuki: Bomu laua watu kadhaa Istanbul// Clinton apata wajumbe wa kutosha kuwa mgombea// Uganda: Rais Museveni amewateua wanasiasa wachache wa upinzani kuwa mawaziri huku akimteua mkewe kuwa waziri wa elimu na michezo// Baadhi ya waumini wa Kiisilamu katika nchi kadhaa ikiwemo Tanzania na Kenya leo hii wameanza rasmi mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani

https://p.dw.com/p/1J1sf