Kazakhstan inakabiliwa na maandamano mabaya zaidi kuwahi kushuhudiwa kwenye nchi hiyo tangu ilipopata uhuru wake miongo mitatu iliyopita+++Ujerumani imejikuta ikikabiliwa na mfululizo wa changamoto katika uhusiano wake na Urusi na China tangu ilipochukua uenyekiti wa kundi la mataifa saba yanayoongoza kiviwanda G7+++Leo Ijumaa Waziri mkuu wa Cambodia anafanya ziara yenye utata nchini Myanmar.