1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.01.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Januari 2021

Wabunge wa Marekani wauidhinisha ushindi wa Joe Biden// Kundi la wafuasi wa rais Donald Trump walivamia jengo la bunge mjini Washington na kufanya vurugu ambazo zimeushtua ulimwengu mzima// Maoni: Siku za mwisho za Trump zimegubikwa na ghasia// Kenya- Hatua ya kuwafuta kazi wataalamu wa afya yakosolewa vikali// WHO: Mapambano dhidi ya COVID-19 yatakuwa magumu.

https://p.dw.com/p/3nd6q