Mwaka mmoja tangu ofisi za jarida la vikatuni " Charlie Hebdo" zishambuliwe na magaidi mjini Paris/ Serikali ya Kongo imelipokea pendekezo la Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa la kupunguza wanajeshi wa kikosi cha umoja huo nchini DRC/ Ujumbe wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, MONUSCO, unasema hali imerejea kuwa ya utulivu kwenye eneo la Lubero katika Kivu ya Kaskazini