Serikali ya Tanzania leo imeyashutumu baadhi ya mashirika ya kimataifa kwa kutoa taarifa zisizo sahihi kuhusu mpango wa kuwarejesha wakimbizi wa Burundi/ Iraq- Maafisa wa usalama wamerusha mabomu ya kutoa machozi na risasi za moto hewani kuwatawanya waandamanaji katika mji mkuu wa Baghdad/ Uingereza- Boris Johnson amemlinganisha mpinzani wake mkuu na muimla wa Usovieti Joseph Stalin.