Tanzania ipo katika maandalizi, ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 28// Rais Donald Trump anaandamwa na mzozo wa kupoteza uaminifu unaofanana na shakashaka zilizougubika ukweli kuhusu afya yake// Urusi ilijiingiza kikamilifu kwenye vita vya Syria miaka mitano iliyopita, ikisema ilikuwa inapambana na ugaidi.